AZAM FC YAFANYA MAZOEZI YA KWANZA MJINI KAMPALA,UGANDA JIONI YA LEO
tarehe
Pata kiungo
Facebook
Twitter
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Baada ya mapumziko ya saa takribani tatu, kikosi cha Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC , kimefanya mazoezi ya kwanza mjini Kampala, Uganda jioni ya leo katika Uwanja wa Phillip Omondi.
Maoni
Chapisha Maoni