Babu TaleMeneja wa WCB Babu Tale ametia neno kwenye gumzo linaloendelea sasa hivi mitandaoni kati ya pande mbili za Wasanii wawili maarufu wa Bongofleva ambao ni Alikiba na Diamond Platnumz .
Tale kwenye Instagram yake ameandika ‘Tushindane kwenye kazi, vijembe vya mitandao tuwaachie mashabiki….. #zilipendwa link on my bio”
Maoni
Chapisha Maoni