Mwalimu (31) amefungwa kwa miaka 10 kwa kosa la kufanya mapenzi na mwanafunzi (15) wakiwa darasani, Oklahama, Marekani. Ametakiwa pia kulipa $1M kama fidia. Aidha shule anayotokea mwalimu huyo imesema itatoa $125,000 ili kutuliza sakata hilo kwa familia ya mtoto huyo wa kiume, kutokana na kugomea kiasi kilichodaiwa na familia hiyo kwa kuwa ni kikubwa.
Chanzo: FOX NEWS
Maoni
Chapisha Maoni