Meya wa Ubungo, Boniface Jacob Kutoa Posho zake Zote Kwa Wajasiriamali... tarehe Oktoba 09, 2017 Pata kiungo Facebook X Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Meya wa Ubungo, Boniface Jacob amesema kuanzia Oktoba, posho zote anazopewa kama stahiki yake, zielekezwe kwenye mafunzo ya wajasiriamali. Maoni
Maoni
Chapisha Maoni