ENYI WANAWAKE SOMENI UJUMBE HUU,NA MUMCHE ALLAH, MAASWI YATAKAYOWATIA WANAWAKE MOTONI NI HAYA HAPA:

Bibi Aishah (Radhiallahu Anha) alimuuliza bwana Mtume (S.A.W) je kuna mtu yoyote miongoni mwa wafuasi wako atayeingiaJannah bila hesabu. Ndio akajibu Mtume (S. A. W ) mtu ambaye daima analia kwa dhambi zake
Siku moja Bibi Fatma Radhi Allah An-ha alikwenda
kwa Mtume (S.W.W) akamkuta analia sana
Bibi Fatma akamuliza nini kinachokuliza ya Rasulla
Allah ??

Akajibu:

Jinsi nilivowaona Wanawake wakipewa adhabu mbali
mbali Motoni
Bibi Fatma akamuliza:
Ni Adhabu gani hizo ya Rasulla Allah ??
Mtume Muhammad (S.A.W) akajibu:-

1. Mwanamke katundikwa kwa nywele zake na huku
ubongo wake na mikono yake inatolewa kwa
nyuma ya mgongo wake na huku anamiminiwa moto wa lami.

HUYU NI MWANAMKE ANAETEMBEA KICHWA WAZI.

2. Mwanamke kafungwa mikono yake na miguu
yake juu ya utosi wake huku kaachiwa Joka na Nge
wakimdona.

HUYU NI MWANAMKE ANAETOKA BILA RUHUSA YA MUMEWE.

3. Katundikwa kwa ulimi wake umevutwa hadi
dhiraa 70 na anamiminiwa moto wa lami.

HUYU NI YULE ALIYEMUUDHI MUMEWE HADI AKAKASIRIKA.

4. Anakula mwili wake na huku kila akila nyama inajirud upya na huku anamiminiwa moto wa lami.

HUYU NI YULE ALIYEKUWA ANAJIPAMBA NA ANADHIHIRISHA PAMBO LAKE.

5. Anakata mwili wake kwa Mikasi ya moto km
anaekata kitambaa.

HUYU NI MWANAMKE ALIYEKUWA AKIPENDA KUTEMBEA HUKU AMEVAA NGUO ZA KUBANA ZINAZO ONESHA FIGER YA MWILI WAKE.

6. Mwengine uso wake mweusi sana huku anakula
tumbo lake na mikono yake.

HUYU NI YULE ALIYEKUWA ANAFITINISHA.

7. Na wengine wametiwa ndani ya masanduku ya Moto na Nge wakiwatafuna miili yao.

HAWA NI WANAWAKE WANAOWABANDIKA WAUME ZAO WATOTO WASIO KUWA WAO.

EWE MWANAMKE JIEPUSHE NA ADHABU HIZO KWA
HAKIKA NI ADHABU KALI.

Share na rafiki zako ili mawaidha yawafikie wengi....

HAKIKA UKUMBUSHO UTAWAFAA WENYE KUAMINI

Maoni