Ni kauli yake Muhunzi meneja wa team ya mzambarauni amesema Nukuu"Kufungwa si sababu ya kukosa furaha tuajipongeza kwa kuonyesha mchezo mzuri na kwa nidhamu ya hali ya juu ,nimejiridhisha pasi na shaka kuwa tunatakiwa kuongeza bidii ktk mazoezini ,na ndio nikaona hata kama hatujashinda basi tuakaoshe kidogo kula Italian pizza".
ameyasema ayo baada ya team yake kukubali kichapo cha goal 3-0 toka kwa Kisewe Queens.
Pia Muhunzi amesisitiza watu kutokuwa na majungu pindi wanapo fungwa "Kufungwa ni sehemu ya mchezo nawapongeza kwa ushindi mmcheza vizuri ,mimi huwa sina majungu kama nimefungwa sina ulalamishi hata kama kuna mapungufu madogo madogo ni ya kibinadamu" kisha akamalizia kwa kutoa ushauri "Ninachowashauri tuwe na uzalendo wa kukubali matokeo yatakayotokea mchezoni" amesema Muhunzi.
Maoni
Chapisha Maoni