Kikosi cha Kisewe Queens kimeanza vizuri mashindano ya Uvccm Chamazi Rede Cup 2018 kwa kutoa kipigo cha mabao 6-0 kwa wenyeji wao Mbande Magengeni.
Kisewe imepata ushindi huo jana ambapo ulikuwa ni mchezo wao wa kwanza wa mashindano ya Uvccm Rede Cup 2018.
Katika mchezo huo Kisewe walicheza kwa kujiamini na kutawala mchezo kwa vipindi vyote viwili.
Maoni
Chapisha Maoni