Kuelekea katika ufunguzi wa mashindano ya UVCCM Rede Cup 2018 UVCCM kata ya chamazi ikishirikana na idara yake ya IBUMA imeteua wafuato kuwa wasimamizi wa mechi ya kundi A (round ya kwanza)
Katika mechi ya Mbande Vs. Kisewe (uwanja wa Mbande)
Tuemeteua wafuatao:-
© *Fahadi Haruna* kutoka *Dovya B* kuwa refa wa mchezo huo.
© *Hussein Kabuji* kutoka *Saku B* kuwa kamisaa wa mchezo
Katika Mchezo wa Rufu Vs. Kiponza(uwanja wa Rufu)
Tumeteua wafuatao:-
© *Husna* kutoka *Bamia* kuwa refa wa Mchezo.
© *Rocky* kutoka *Mzambarauni* kuwa kamisaa wa mchezo huo.
Katika mchezo wa *Mfenesini* Vs. *Bamia* (uwanja wa Mfenesini)
Tumeteua wafuatao:-
© *ISSA MWALIKO* Kutoka *Dovya B* kuwa refa wa mchezo huo.
© *Shaban Rapwi* kutoka *kwa Mkongo* kuwa kamisaa wa mchezo huo.
*NB:-*
``` WALIOTAJWA MAJINA HAYO WANATAKIWA KURIPOTI KATIKA VIWANJA VILIVYOAINISHWA HAPO JUU KABLA YA SAA TISA NA NUSU```
*IMETOLEWA NA*
*NAJIM NYANZA*
*KATIBU HAMASA NA CHIPUKIZI*
*UVCCM-CHAMAZI*
Maoni
Chapisha Maoni