Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John P. Magufuli amekutana na Waziri wa OR TAMISEMI Mhe.Selemani S. Jafo na Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia na Ufundi Prof.Joyce L. Ndalichako Ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 17,2018. Mhe. Rais amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za Serikali za Msingi na Sekondari na amewaagiza mawaziri hao kusimamia hilo. Taarifa kamili
Picha Ikulu
Maoni
Chapisha Maoni