Aliye mpiga kiwiko Okwi akutana na rungu la TFF. tarehe Februari 13, 2018 Pata kiungo Facebook Twitter Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Mchezaji wa Ruvu Shooting, Mau Bofu amefungiwa mechi tatu na kupigwa faini ya shilingi laki tano kwa kumpiga kiwiko Emmanuel Okwi wa Simba katika mechi kati ya timu hizo iliyofanyika Februari 4, 2018 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Maoni
Maoni
Chapisha Maoni