ALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MPINGA AHAMIA CCM


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Pwani ,Ramadhani Maneno akizungumza alipotembelea kata ya Mapinga ,wilaya ya Bagamoyo wakati wa muendelezo wa ziara yake anayoendelea nayo mkoani hapo kushukuru kuchaguliwa nafasi hiyo.(picha na Mwamvua Mwinyi)

Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Bagamoyo wakimsikiliza mwenyekiti wa CCM Mkoani Pwani ,(hayupo pichani) wakati alipokuwa amefanya ziara yake ya kushukuru wilayani humo .(picha na Mwamvua Mwinyi)

Aliyekuwa mgombea udiwani kata ya Mapinga kupitia ACT Wazalendo uchaguzi mkuu uliopita ,Tabia Juma akiongea baada ya kuhamia CCM wakati wa ziara ya mwenyekiti wa CCM Mkoani Pwani ,Ramadhani Maneno aliyoifanya wilayani Bagamoyo,pamoja na hilo uongozi mzima wa ACT kwenye kata hiyo ulihamia CCM.

Maoni