Katibu wa Chama cha Mapinduzi kata ya Miburani Ndg Amiri Matimbwa akifurahi baada ya kupata nakala ya kitabu cha Hatubebi Mabegi kilichotungwa na M/kiti wa Uvccm kata ya chamazi Ndg Nasri Mkalipa
Huku akiwa sambamba na katibu wa uvccm kata ya Miburani Ndg Swaumu Cholla sambamba na M/kiti mstaafu wa Uvccm kata miburani Ndg.Ally kiaka
Nawe unaweza pata nakala yako popote ulipo wasiliana nasi kwa
0620881532 au
0689232546
Maoni
Chapisha Maoni