Mange Afichua Siri, Kumbe Diamond Karanga Sio za Diamondi,Bali yeye ni Balozi tu, Amtaja Mmiliki.

Chat with female and males



Mange Kimambi Ameandika haya:

"Hili tifu la Clouds na Wasafi, siri zote zitatoka 
Mlionichambaga nilipotoa hii habari ya kuwa Karanga sio za Diamond ni za Joseph Kusaga inabidi mniombe msamaha maana mlijua kunichamba kuwa nna roho mbaya natoa habari za uwongo sijui siipendi WCB. Mtu kusema ukweli haimaanishi chuki, chuki ni kumsemea mtu uwongo!

Diamond ni balozi wa Diamond Karanga kama jinsi alivyokuwaga Balozi wa Danube. Mkisema Diamond Karanga ni za Diamond basi hata Danube ni ya kwake. Hakuna cha jina lake sijui brand yake kutumika kwa hiyo analipwa, brand yake haijatumika hapo sababu hizo karanga hazitumiii nembo wala jina la Diamond, hizo karanga zinaitwa Diamond miaka na miaka kabla hata Diamond hajawa maarufu. Tatizo wengi mmezijua hizo karanga mwaka juzi ila hizo karanga ziko sokoni miaka mingiiii.Diamond ni balozi tu wa Diamond karanga, kama jinsi wasanii wengine ni mabalozi wa Hyatt Regency na bidhaa zingine.Fullstop

Na Chibu perfume pia niliwaambia ni ya Kusaga sio ya Diamond pia mkanibishia, sijui why mnakuwaga wabishi mkiambiwa ukweli. Hata hiyo website ya mziki sio ya Diamond vile vile ni ya Kusaga.Diamond anatumika kwa kufanya promotion tu ila wamiliki ni kina Kusaga.

Na sikuongea sababu eti simpendi Diamond eti nataka kumuumbua no, niliongea sababu sio haki mnavyowanyali wasaniii wengine kama Ali Kiba eti yeye hana bidhaaa yoyote huku Diamond ana bidhaaa zote hizo, nikaona niweke rekodi sawa kuwa Diamond pia hana bidhaa yoyote ila bidhaa ni za Joseph Kusaga..... Sio haki kuwashusha wasanii wengine na kuwafanya wajione sio kitu kwa kuwatunuku wasanii wengine utajiri feki wa kutengeneza mitandaoni. Bora muwapambanishe kwa utajiri wa kweli na sio bidhaaa za kina Kusaga.....

#Repost @kamandamzeemkavu with @get_repost

Ziara Ya Mwekezaji Mr Radima Clouds Media Mikocheni, Mr Radima Ni Mmiliki wa Kiwanda Kinachozalisha #DiamondKaranga Na Clouds kupitia kwa Mkurugenzi wake ni Washirika (Partners) Katika Mradi Wa #DiamondKaranga mradi ambao msanii @diamondplatnumz ni Balozi wake.. . HONGERA SANA MZEE BABA... Mm na Bondia kikono @soudybrown tuko nyuma kuiga mfano wako wa uwekezaji @shilawadu " Mange

Maoni