MBIVU NA MBICHI KWA WANYOGE WA RC MAKONDA KUFAHAMIKA KESHO.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda anawaalika Wananchi wote waliofika kwenye Wiki ya Sheria na kusikilizwa Kero na malalamiko yao na jopo la Wanasheria kufika ukumbi wa Diamond Jubilee siku ya kesho February 10 kuanzia Saa mbili asubuhi kwaajili ya kupata mrejisho wa malalamiko waliyowasilisha kwa Wanasheria. 

Tayari maandalizi ya tukio hilo yamekamilika kwa 100%, unachotakiwa wewe ni kuwahi mapema ili uweze kujua hatma ya malalamiko yako.

Imetolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar es salaam. 

HAKIMU WA KWELI NI MUNGU.

Maoni