Ndege aina ya F16 ya jeshi la Israel imeanguka baada ya kushambulia ngome za Iran zinazopatikana nchini Syria.
Jeshi la Israel limefahamisha kuwa linafuatilia kwa karibu tukio hilo na kusema kuwa lipo tayari kwa operessheni muda wowote.
Seriakli ya Assad amefahamisha kuwa jeshi la Israel la anga limeendelea kushambulia Syria baada ya ndege yake ya F16 kuanguka.
SANA shirika la habari la Syria limefahamisha kuwa ndege za kivita za Israel limeshambulia ngome za Iran mapema Asubuhi Jumamosi.
Tangazo lingine limefahamisha kuwa mashambulizi ya Israel Syria yaliendelea kwa muda kadhaa.
Serikali ya Israel imetangaza kufungwa anga la Tel Aviv kwa safari zote za ndege.
Maoni
Chapisha Maoni