SIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0


 Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akishangilia moja ya bao alilofunga katika mchezo dhidi ya Mbao FC mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo. Simba iliibugiza Mbao FC bao 5 - 0.

 Beki kisiki wa Simba SC, Erasto Nyoni akiwa katika furaha na Kiungo Mkabaji wa Kikosi hicho, James Kotei.

Emmanuel Okwi akiwa chini baadayakuchezewa ndivyo sivyo na Beki wa Mbao FC.

 Mashabiki wa Klabu ya Simba akifutilia mtanange huo, ambapo timu yao iliibuka na ushindi wa bao 5 - 0 katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mbao FC.

Maoni