TANZIA

Mwanasiasa maarufu na wa siku nyingi Tambwe Hizza amefariki leo alfajiri nyumbani kwake jijini Dar es salaam.Marehemu Tambwe Hizza amefariki akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa pumu na amefariki akiwa ni mmoja wa waratibu wa kampeni za chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) katika jimbo la Kinindoni. 

Taarifa hizi zimethibitishwa na Mstahiki Meya wa Ubungo Boniface Jacob

Maoni