WANANCHI WILAYANI MPANDA WAMELALAMIKIA UBOVU WA BAADHI YA BARABARA NI CHANZO KINACHOPELEKEA UKOSEFU WA HUDUMA ZA KIJAMII KWA WAKATI.


MPANDA

Wananchi wilayani mpanda mkoani katavi wamelalamikia ubovu wa baadhi ya barabara katika maeneo yao  chanzo kinachopelekea ukosefu wa  huduma za kijamii kwa wakati.

Wamesema hayo wakizungumza na mpanda redio huku wakibainisha adha wanayoipata kutokana na  changamoto ya barabara hizo.

Kwa mujibu wa kaimu  mratibu wa tarura mkoa mhandisi zuberi kirenza ametaja barabara zilizoko kwenye mpango wa kutengenezwa kwa mwaka huu.

Aidha barabara zitakozotengenezwa mpanda mjini zitagharimu kiasi cha shilingi milioni 360  huku barabara za mjini zikigharimu shilingi milioni165 na vijijini milioni 195.

Chanzo:Ester Baraka

Maoni