WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI NACHINGWEA ASUBUHI HII

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea kuanza ziara ya kazi mkoani Mtwara Februari 26, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Maoni