Julai Mwaka huu Tanzania kupokea Ndege Mpya tarehe Machi 05, 2018 Pata kiungo Facebook Twitter Pinterest Barua pepe Programu Nyingine Msemaji Mkuu wa Serikali amesema kuwa Julai mwaka huu nchi yetu itapokea ndege kadhaa mpya ikiwemo Boeing Dreamliner hivyo ukarabati wa viwanja vya ndege vya Kitaifa/Kimataifa na Kimkoa unaendelea kwa kasi nchini. Maoni
Maoni
Chapisha Maoni