Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Ndg. Kheri Denis James (MCC) Leo March, 29,2018,amekutana na kufanya mazungumzo na Wanamuziki wa Band ya Vijana Jazz Wana Pamba Moto.
Ndg.Kheri Denis James Akizungumza jambo. Meza kuu wakiwa makini wakisikiza jambo.
Ni mwanamuziki wa Band ya Vijana Jazz Wana Pamba Moto akizungumza jambo wakati wa Mazungumzo hayo na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi, Ndg.Kheri Denis James.
Maoni
Chapisha Maoni