:RC RUVUMA AWAONYA WATAKAO KWAMISHA MIRADI YA MAENDELEO


Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.

Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho.

Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho.

Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho.

Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho. 

Maoni