TIMU 16 ZILIZOTINGA HATUA YA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRICA.
tarehe
Pata kiungo
Facebook
Twitter
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Jumla ya timu 16 zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika zimefuzu kuingia hatua ya makundi,na sasa kinachosubiriwa ni droo ya kupangwa timu zipi zikutane.
Droo hiyo itafanyika mjini Cairo,Misri, Jumatano ya Machi 21, 2018.
Maoni
Chapisha Maoni