Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji Mhe. Charles Mwijage amekabidhi mradi wa SIDO kujenga Industrial sheds kwa Mkandarasi SUMA JKT. Katika Makabidhiano hayo Waziri Mwijage ametoa miezi 2 kwa mkandarasi kukamilisha ujenzi wa majengo hayo. Mradi huo unakadiriwa kugharimu zaidi ya sh. Milioni 200,ambapo majengo yatajengwa ndani ya eneo la SIDO Mtwara lenye ukubwa wa hekta 8.
Maoni
Chapisha Maoni