MVUA ILIONYESHA JANA YASABABISHA MAFULIKO NA UHARIBIFU MKUBWA KAHAMA.

Hali halisi ilivyoonekana siku ya Jana April 18, 2018 katika Maeneo ya karibu kata zote za mji wa Kahama zaNyahang’a,Nyasubi,Majengo,Muhongolo,Malunga na Muhungula wilayani Kahama mkoani Shinyang’a mara baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko ya maji ,barabara kuharibika na nyumba kubomoka kwa baadadhi ya maeneo na viunga vya mji huo.

Picha Na Simon Dioniz Radio Kwizera Kahama.

Hii ni moja ya barabara ilivyoharibika  kama inavyoonekana  siku ya Jana April 18, 2018 mara baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko ya maji  na nyumba kubomoka kwa baadadhi ya maeneo na viunga vya mji Kahama.


Nyumba ikiwa imebomoka na kuzingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha mjini Kahama.

Mvua kubwa ilinyesha April 18,2018 wilaya ya Kahama mkoani Shinyang'a na kusababisha  hasara kubwa ya uharibifu wa mali.


Mvua kubwa ilinyesha April 18,2018 wilayani Kahama na kusababisha baadhi ya maeneo kukumbwa na mafuriko , kusababisha barabara na nyumba nyingi kujaa maji. 

Mvua hiyo pia imesababisha hasara kubwa ya uharibifu wa mali. Picha na  Simon Dioniz-Radio Kwizera .

Maoni