Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua mradi wa kuzalisha umeme MW 240 wa Kinyerezi II eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam leo Aprili 3, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akibofya kitufe kuashiria kuzindua rasmi mradi wa kuzalisha umeme MW 240 wa Kinyerezi II eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam leo Aprili 3, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo toka kwa Meneja Miradi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Steven Manda kabla ya kuzindua mradi wa kuzalisha umeme MW 240 wa Kinyerezi II eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam leo Aprili 3, 2018 .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo toka kwa Waziri wa Nishati Dkt. Menard kalemani kabla ya kuzindua mradi wa kuzalisha umeme MW 240 wa Kinyerezi II eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam leo Aprili 3, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo toka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco Dkt.Tito Mwinuka kabla ya kuzindua mradi wa kuzalisha umeme MW 240 wa Kinyerezi II eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam leo Aprili 3, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata maelezo toka kwa Meneja Miradi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Mhandisi Steven Manda kabla ya kuzindua mradi wa kuzalisha umeme MW 240 wa Kinyerezi II eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam leo Aprili 3, 2018
Bila kujali mvua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mamia ya wananchi waliojitokeza kushuhudia akizindua mradi wa kuzalisha umeme MW 240 wa Kinyerezi II eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam leo Aprili 3, 2018.
Maoni
Chapisha Maoni