Rwanda Kuwakamata Walemavu Ombaomba


Serikali ya Rwanda imetangaza kuwa kamata na kuwaweka gerezani walemavu wote wanaojihusisha na vitendo vya kuomba omba barabarani kwa madai kuwa ni chanzo cha uchafu mjini.

Uamuzi huo ambao unaweza kutekelezwa wakati wowote kuanzia sasa umewaonya walemavu hao kuwa kama hawatositisha shughuli uombaji, watatiwa ndani. 


Kwa upande wa walemavu wamepokea umamuzi huo kwa shingo upande huku baadhi ya raia wakisema kwamba uamuzi huo umekuja kwa lengo la kukandamiza walemavu na watu maskini.

Maoni